Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Basilei wa Amasea

Askofu

Basilei wa Amasea (alifariki Nikomedia, katika Uturuki wa leo, 322 hivi) alikuwa askofu wa Amasea aliyefia dini yake kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Licinius[1][2]).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Aprili[3].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Marejeo

hariri
  • Acta Sanctorum, April, III, 416–422;
  • Surius, De prob. vitis Sanctor. (Cologne, 1571), II, 857–864;
  • Tillemont, Memoires (Brussels, 1732), V, 219 sqq., 352 sqq.

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.