Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Papa Gregori VIII (takriban 110017 Desemba 1187) alikuwa Papa kuanzia tarehe 21/25 Oktoba 1187 hadi kifo chake[1]. Alitokea Benevento, Italia[2].

Papa Gregori VIII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Alberto wa Morra.

Alimfuata Papa Urbano III akafuatwa na Papa Klementi III.

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.