Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook
Transfiguration pending
Nenda kwa yaliyomo

Papa Gregori V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori V na ndugu yake Kaisari Otto III.

Papa Gregori V (takriban 972Februari/Machi 999) alikuwa Papa kuanzia tarehe 3 Mei 996 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saksonia, Ujerumani[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bruno wa Carinthia.

Alimfuata Papa Yohane XV akafuatwa na Papa Silvester II.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.