Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook
Nenda kwa yaliyomo

Amabili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Amabili alivyochorwa.

Amabili (kwa Kilatini: Amabilis; kwa Kifaransa: Amable; 398 hivi - 475 hivi) alikuwa padri katika Ufaransa wa leo [1]

Habari zake zimesimuliwa na Gregori wa Tours [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Oktoba[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.