Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook
Nenda kwa yaliyomo

G8

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kundi la G8 lilikuwa likikusanya viongozi wa nchi 8 zilizoendelea sana kabla ya Russia kusimamishwa mwaka 2014 kwa sababu ya kuteka Krimea.[1][2][3] Tangu hapo, kundi limebaki na nchi za G7 pamoja na Umoja wa Ulaya.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: