Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook
Nenda kwa yaliyomo

Kiskoti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Idadi ya wasemaji Kiskoti nchini Uskoti kwa mujibu wa sensa ya 2011.

Kwa lugha ya Kiselti, angalia makala ya Kigaeli cha Uskoti.

Idadi ya wasemaji Kiskoti nchini Eire Kaskazini kwa mujibu wa sensa ya 2011.

Kiskoti ni mojawapo ya lugha za Kianglia, kundi la lugha zinazofanana sana na Kiingereza hata kama ni lugha tofauti. Kama Kiingereza, Kiskoti ni lugha ya Kijerumaniki Magharibi, lakini Kiskoti husemwa hasa nchini Uskoti na kaskazini mwa Eire.[1]

Kiskoti ni tofauti na Kigaeli cha Uskoti, lugha ya Kiselti ambayo mara nyingi inachanganyika na Kiskoti. Pia ni tofauti na Kiingereza cha Uskoti, lahaja ya Kiingereza nchini Uskoti.

  1. "What the Scots language is, and what it is not". www.open.edu (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-09-03.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiskoti kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.