UN: Ubaguzi wa rangi dhidi ya waafrika ni wa kimfumo duniani
Mkuu wa Ofisi ya Haki za Haki za Binaadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet, amesema kuwa ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wenye asili ya Kiafrika bado ni wa kimfumo katika sehemu nyingi ulimwenguni