VOA Direct Packages
Misri: Mazishi ya watu 41 waliofariki katika ajali ya moto yafanyika
Kiungo cha moja kwa moja
Mazishi ya watu 41 waliofariki katika ajali ya moto ndani ya Kanisa la Coptic yamefanyika kwenye makanisa mawili mjini Cairo, Misri. Sababu za ajali hiyo zinatokana na hitilafu ya mfumo wa umeme.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017