Mamlaka nchini Zimbabwe imechukua hatua ya haraka kuhusiana na kushuka hivi karibuni kwa sarafu ya dhahabu inayoungwa mkono, kwa kuwakamata wanaofanya magendo ya kubadilisha fedha na kufunga akaunti za biashara zinazotuhumiwa kutumia dola za Marekani peke yake.
Maafisa wawili wa ngazi ya juu wa Uingereza Jumanne wameomba serikali ifikirie tena mpango wake wa kuwapeleka waomba hifadhi nchini Rwanda, wakionya kuwa hatua hiyo huenda ikawa ni matokeo mabaya kwa haki za kibinadamu pamoja na usalama wa wakimbizi.
Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress -ANC kilishindwa katika kesi ya pili mahakamani dhidi ya chama kipya cha upinzani kinachoongozwa na aliyekuwa Rais Jacob Zuma siku ya Jumatatu.
Aharon Haliva ni afisa wa kwanza wa ngazi ya juu Israel kujiuzulu kuhusiana na shambulio la oktoba 7 la hamas dhidi ya Israel.
Masuala mengine pia yatakayojitokeza kati ya nchi hizo mbili ni masuala ya usambazaji maji na usafirishaji wa mafuta na gesi
Sunak alisema serikali imekodisha ndege za kibiashara na imewapatia mafunzo wafanyakazi ili kuwapeleka wahamiaji nchini Rwanda
Jina la MK lina upinzani linafanana na tawi la silaha la ANC ambalo Mandela aliliongoza enzi za ubaguzi wa rangi.
Waziri wa Fedha wa Ghana anatarajia rasimu ya Mkataba wa Maelewano (MoU) kutoka kwa wakopeshaji wa nchi hiyo mwezi Mei kuhusu mpango wa marekebisho ya wakoeshaji Jumapili.
Washington ilijenga kambi yenye thamani ya dola milioni 100 kwa ajili ya kurusha ndege zisizokuwa na rubani kutoka Niger
Mjumbe wa ngazi ya juu wa UN, alitoa wito wakati Sri Lanka ikiadhimisha kumbukumbu ya waathirika 279 wa shambulio baya kuwahi kutokea
Tangazo kutoka wizara ya mambo ya nje ya Islamabad lilisema ziara hii itatoa fursa muhimu kuimarisha uhusiano wa nchi mbili
Israel imesema wanajeshi wake waliwaua magaidi 10 na kuwakamata wanane katika kambi ya wakimbizi ya Nur Shams
Pandisha zaidi