Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imesema watu zaidi ya 32,000 wameuawa wakati wa mashambulizi ya Israel
China iliweka ushuru kwa mvinyo wa Australia mwaka 2020 wakati wa mzozo wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili
Rais Mahmoud Abbas alimteua Mohammad Mustafa, mshauri wa muda mrefu kuwa Waziri Mkuu wa Palestina mapema mwezi huu.
Chama cha Kejriwal cha Aam Aadmi Party (AAP) kinasema kesi hiyo imetungwa na ina ushawishi wa kisiasa
UN inasema vita vya magenge vimeongezeka wakati wapinzani wenye silaha wakijihusisha na wimbi jipya la mashambulizi
Rais wa Marekani Joe Biden Jumanne ameeleza kubomoka kwa daraja la Baltimore ni “ajali mbaya,” na kuahidi kurejesha huduma za bandari kuu ya East Coast kwa haraka iwezekanavyo baada ya meli ya mizigo kugonga nguzo ya daraja hilo.
Gavana wa Jimbo la Maryland, Wes Moore, ameweka wazi kuwa hapakuwa na kitendo chochote cha kigaidi baada ya daraja kuu katika mji wa Baltimore kubomoka Jumanne asubuhi wakati meli iliyobeba mizigo kugonga nguzo yake.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akutana na Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant Jumatatu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani mjini Washington.
Rais Putin ameliita tukio hilo kuwa ni kitendo cha umwagaji damu, cha kikatili na kigaidi na kusema waliohusika moja kwa moja wamekamatwa
Mateka waliookolewa wamekabidhiwa kwa serikali ya jimbo la Sokoto kwa hatua Zaidi, alisema Meja Jenerali Edward Buba.
Jeshi la anga la Ukraine limesema Jumamosi nchi hiyo inaendelea kujikomboa kutokana na mashambulizi ya Russia ya Ijumaa
Vikosi vya Marekani vilifanya mashambulizi ya kujilinda dhidi ya vituo vya kuhifadhi silaha vya chini ya ardhi vya wa-Houthi
Pandisha zaidi