Serikali ya Marekani na baraza la Kitaifa la Kulinda Nchi huko Niger (CNSP), Balozi wa Marekani nchini Niger Kathleen Fitz Gibbon na Meja Jenerali Ken Ekman, Mkurugenzi wa Mikakati, Ushirikiano na Mipango wa Kamandi ya Marekani ya Afrika, watakutana na maafisa wa baraza hilo.
Mamlaka ya Ufaransa inasema msichana mwenye umri wa miaka 7 alikuwa miongoni mwa wahamiaji watano waliozama kwenye mfereji wa bahari kati ya Uingereza na Ufaransa, maarufu English Channel,
Benki ya Dunia ilisema Jumanne kuwa imesitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania kufuatia madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu.
Watu kadhaa waliangamia katika maafa mapya ya boti ya wahamiaji kwenye pwani ya Djibouti, shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa lilisema Jumanne.
Taiwan imepigwa na matetemeko kadhaa ya ardhi saa kadhaa kati ya Jumatatu jioni na Jumanne asubuhi, karibu wiki tatu baada ya watu 17 kuuwawa kwenye tetemeko jingine la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 kwa vipimo vya rikta.
White House inatathmini njia za kutoa hadhi ya muda ya kisheria na vibali vya kufanya kazi kwa wahamiaji nchini Marekani wanaoishi kinyume cha sheria.
Wizara ya mambo ya nje ya Marekani siku ya Jumatatu ilitoa ripoti zake za kila mwaka za nchi kuhusu haki za binadamu, ikielezea uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine, vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan na vita vya Israel-Hamas kama baadhi tu ya masuala makubwa ya haki za binadamu duniani.
Wapatanishi wa masuala ya mazingira watakutana Ottawa, Canada Jumanne kwa duru ya nne ya mazungumzo kuhusu kile ambacho kitakuwa mkataba wa kwanza wa kimataifa juu ya kuongezeka kwa uchafuzi wa plastiki.
Aharon Haliva ni afisa wa kwanza wa ngazi ya juu Israel kujiuzulu kuhusiana na shambulio la oktoba 7 la hamas dhidi ya Israel.
Masuala mengine pia yatakayojitokeza kati ya nchi hizo mbili ni masuala ya usambazaji maji na usafirishaji wa mafuta na gesi
Sunak alisema serikali imekodisha ndege za kibiashara na imewapatia mafunzo wafanyakazi ili kuwapeleka wahamiaji nchini Rwanda
Jina la MK lina upinzani linafanana na tawi la silaha la ANC ambalo Mandela aliliongoza enzi za ubaguzi wa rangi.
Pandisha zaidi