Wapiganaji wanaoshukiwa wa ISWAP walitumia kifaa cha milipuko kulipua gari lililowabeba Civilian Joint Task Force
Watu katika mitaa ya pembeni mwa mji mkuu Lome waligawanyika juu ya uchaguzi na nani anapaswa kuongoza.
HRW imeyataja mauaji hayo miongoni mwa matukio mabaya ya unyanyasaji unaofanywa na jeshi la Burkina Faso tangu 2015
Séjourné anatarajiwa kukutana na vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kusini mwa Lebanon na spika wa bunge la Lebanon.
Hayo yanajiri wakati Israel bado ikiahidi kuuvamia mji wa kusini wa Rafah licha ya wasiwasi wa ulimwengu kwa maelfu ya Wa-palestina.
Viongozi wa dunia na makundi ya misaada wanaonya uvamizi wa Israel katika mji wa kusini wa Rafah utasababisha machafuko
Dzhumokhon Kurbonov, raia wa Tajikistan anatuhumiwa kwa kuwapatia washambuliaji njia za mawasiliano na ufadhili
April 19 mawaziri wao wa ulinzi walifanya mkutano kwa lengo la kuleta “mwanzo mpya” katika mahusiano ya nchi hizo mbili.
Wakati huo huo Chuo Kikuu cha Columbia kinaendelea na mazungumzo na wale walio katika kambi ya wanafunzi wanaounga mkono Wapalestina
Shambulizi hilo la anga lilifanywa na makombora ya masafa ya balistiki na yale yanayosafiri umbali mrefu
Raia wa Afrika Kusini wanapiga kura Mei 29 miongo mitatu baada ya uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia mwaka 1994 uliomaliza utawala wa wazungu
Mahakama ilitoa uamuzi kutoruhusiwa ombi kutoka kwa vyama vya mahakimu kuiona kuwa Mali ilikuwa na mapungufu ya kisheria
Pandisha zaidi