Msemaji wa serikali ya DRC, Patrick Muyaya pia amelishutumu jeshi la Rwanda na kundi la M23 kwa shambulizi nchini humo
Matokeo ya leo yatakuwa tofauti. Tumefikia makubaliano juu ya masuala mengi, chanzo cha usalama cha Misri kimesema
Kimbunga Hidaya kinatarajiwa kutua Tanzania. Ni mfumo wa kwanza uliorekodiwa kufikia kiwango cha kimbunga cha tropiki.
Jimbo la Florida, Marekani, limepitisha sheria mpya inayopiga marufuku utoaji mimba baada ya wiki sita za ujauzito.
Mgombea anayaetarajiwa kuwa mteule wa urais wa kupitia chama cha Republican Donald Trump anasema akichaguliwa atarejesha tena marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi katika siku ya kwanza ya utawala wake mpya.
Jeshi la Marekani linapanga kurejea Chad ndani ya mwezi mmoja kwa ajili ya mazungumzo kuhusu kurekebisha makubaliano ambayo yanairuhusu kubakisha wanajeshi huko, jenerali mmoja wa Marekani alisema Jumatano.
Wamarekani wenye asili ya Asia ni kundi ambalo linakua kwa haraka sana lenye wapiga kura wanaostahiki nchini Marekani, kwa mujibu wa kituo cha utafiti cha Pew.
Betri zimekuwa muhimu katika ongezeko la magari ya umeme lakini pia ni muhimu kwa nishati ya upepo na jua.
Waziri Blinken pia alijadili juhudi za kidiplomasia zinazoendelea ili kufikia amani ya kudumu katika eneo la Gaza
Gavana Oleh Kiper alisema shambulio hilo la Russia lilipiga moja ya maeneo maarufu mjini Odesa ambapo watalii huenda kutembea
Mvua zimesababisha vifo vya watu takriban 170 na wengine 185,000 kukoseshwa makazi tangu mwezi Machi, ofisi ya rais imesema.
Picha za video ziliwaonyesha waandamanaji katika chuo cha Manhattan cha Columbia walifunga mikono mbele ya ukumbi wa Hamilton.
Pandisha zaidi