Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Masuali yaibua baada ya wanajeshi wa Burundi kuingia rasmi DRC

Your browser doesn’t support HTML5

Wakazi wa mkoa wa Kivu Kusini wanajiuliza kipi kitafuata baada kikosi cha wanajeshi wa Burundi kuruhusiwa kuingia kwenye ardhi ya Congo mapema wiki hii, chini ya mpango wa Jumuia ya Afrika mashariki kupambana na makundi ya kigeni yenye silaha mashariki mwa DRC.