Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 05, 2024 Local time: 22:03

Blinken awasili Afrika Kusini kituo cha kwanza cha ziara yake ya mataifa matatu ya Afrika


Blinken awasili Afrika Kusini kituo cha kwanza cha ziara yake ya mataifa matatu ya Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken aliwasili Afrika Kusini Jumapili, kituo cha kwanza cha ziara yake ya mataifa matatu ya Afrika. Mbali na Afrika Kusini, Blinken pia ataitembelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda.

XS
SM
MD
LG