Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 05, 2024 Local time: 13:44

Raia wa Angola wajiandaa kwa uchaguzi mkuu kesho


Raia wa Angola wajiandaa kwa uchaguzi mkuu kesho
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wagombea urais nchini Angola Jumatatu walihitimisha kampeni za mwezi mzima kabla ya uchaguzi wa Jumatano ambao huenda ukashuhudia ushindani mkali kati ya chama tawala, kilicho madarakani kwa miongo kadhaa, na upinzani unaozidi kuongeza mvuto miongoni mwa vijana.

XS
SM
MD
LG