Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Aprili 28, 2024 Local time: 22:43

Maine yasema Trump hatokuwa kwenye orodha ya wagombea urais


Maine yasema Trump hatokuwa kwenye orodha ya wagombea urais
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:26 0:00

Wiki hii tunaangazia masaibu ya kisiasa yanayoendelea kukumba Donald Trump baada ya jimbo la Maine kusema kwamba jina lake halitakuwa kwenye orodha ya wagombea urais wa Marekani, ikiwa hatua sawa na Colorado.

Forum

XS
SM
MD
LG