Mahakama ilitoa uamuzi kutoruhusiwa ombi kutoka kwa vyama vya mahakimu kuiona kuwa Mali ilikuwa na mapungufu ya kisheria
Mchapishaji wa zamani wa gazeti la udaku David Pecker amerejea kizimbani kwa siku ya nne kama shahidi katika kesi ya uhalifu ya Donald Trump huko New York, Marekani.
Wanafunzi katika vyuo mbalimbali wanaendelea na maandamano kama hayo ambayo pia yanakabiliwa na kuzuiwa na polisi.
Mahakama ya Juu ya Marekani siku ya Alhamisi ilionekana kushuku madai ya Rais wa zamani Donald Trump kwamba ana kinga kamili ya kutoshtakiwa kwa makosa ya jinai kwa vitendo alivyofanya akiwa madarakani
Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi.
Serikali ya Marekani na baraza la Kitaifa la Kulinda Nchi huko Niger (CNSP), Balozi wa Marekani nchini Niger Kathleen Fitz Gibbon na Meja Jenerali Ken Ekman, Mkurugenzi wa Mikakati, Ushirikiano na Mipango wa Kamandi ya Marekani ya Afrika, watakutana na maafisa wa baraza hilo.
Rais Joe Biedn ametia saini Jumatano mswada ambao utaweza kupiga marufuku app maarufu ya TikTok kutumika kote nchini, hivyo kuongeza kitisho dhidi ya biashara za kampuni hiyo Marekani.
Maandamano ya wanaounga mkono Wapalestina yameongezeka katika vyuo vikuu vya juu vya Marekani siku ya Jumatatu.
Mahakama ya Juu ya Marekani imepanga kipindi maalum kusikiliza hoja kama Rais wa zamani Donald Trump anaweza kushitakiwa kwa juhudi zake kutaka kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambapo alishindwa na Rais Joe Biden.
White House inatathmini njia za kutoa hadhi ya muda ya kisheria na vibali vya kufanya kazi kwa wahamiaji nchini Marekani wanaoishi kinyume cha sheria.
Aharon Haliva ni afisa wa kwanza wa ngazi ya juu Israel kujiuzulu kuhusiana na shambulio la oktoba 7 la hamas dhidi ya Israel.
Masuala mengine pia yatakayojitokeza kati ya nchi hizo mbili ni masuala ya usambazaji maji na usafirishaji wa mafuta na gesi
Pandisha zaidi