Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 27, 2024 Local time: 01:14

Je, Kongamano la Afrika na China lina umuhimu kwa Afrika au ni kuongeza mzigo wa mikopo?


Je, Kongamano la Afrika na China lina umuhimu kwa Afrika au ni kuongeza mzigo wa mikopo?
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Wiki iliyopita viongozi wa Afrika walikutana katika kongamano lililofanyika katika jiji la Beijing huko China. Katika kongamano hilo la tisa la ushirikiano kati ya bara la Afrika na China, mbali na mikopo zaidi, ahadi nyingi zilitolewa.

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG