Washington ilijenga kambi yenye thamani ya dola milioni 100 kwa ajili ya kurusha ndege zisizokuwa na rubani kutoka Niger
Mjumbe wa ngazi ya juu wa UN, alitoa wito wakati Sri Lanka ikiadhimisha kumbukumbu ya waathirika 279 wa shambulio baya kuwahi kutokea
Tangazo kutoka wizara ya mambo ya nje ya Islamabad lilisema ziara hii itatoa fursa muhimu kuimarisha uhusiano wa nchi mbili
Israel imesema wanajeshi wake waliwaua magaidi 10 na kuwakamata wanane katika kambi ya wakimbizi ya Nur Shams
Mwanamme mmoja aliyejichoma moto nje ya mahakama ambako kesi ya rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, inafanyika amefariki dunia polisi wamesema.
Viongozi wa Ulaya wako katika siku ya pili ya mkutano hivi leo wa Baraza la EU mjini Brussels, ambapo mazungumzo hivi leo yanalenga jinsi ya kuondoa tatizo la kushuka kwa uchumi katika umoja huo na kuuzuia kuwa nyuma zaida ya China na Marekani.
Pentagon imesema Lloyd Austin na Admirali Dong Jun wa China walijadili uhusiano wa ulinzi na masuala ya usalama wa kimataifa
Boti ilikuwa imebeba jumla ya watu 12 wengi wao wakiwa wakulima msimamizi wa wilaya ya Caia aliliambia shirika la habari la AFP.
Waziri wa mambo ya nje wa Israel amesema amewasiliana na mataifa zaidi ya 30 kushinikiza vikwazo dhidi ya mpango wa makombora wa Iran.
Mvua ilianza usiku kucha na kuvuruga safari za ndege katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai
Wizara ya biashara ya Marekani Jumatatu imetoa mkopo wa dola bilioni 6.4 kwa kampuni ya elektroniki ya Samsung yenye makao yake Korea Kusini, ili kujenga kiwanda chake kipya cha kutengeneza chip za komputa mjini Taylor, Texas pamoja na kupanua kiwanda cha zamani mjini Austin kwenye jimbo hilo hilo.
Shirika lisilotafuta faida linasaidia wahamiaji kupata mafunzo kuhus ajira. Mafunzo haya hutolewa kuwaandaa wafanyakazi kufahamu masuala ya usalama katika viwanja vya ujenzi. Hii ni hatua ya kukabiliana na uhaba wa wafanyakazi wa ujenzi katika jiji la New York. Endelea kusikiliza...
Pandisha zaidi