Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 09, 2024 Local time: 01:12

Raia 3 wa Venezuela wadaiwa kujipenyeza katika mfumo wa uchaguzi wa Kenya


Raia 3 wa Venezuela wadaiwa kujipenyeza katika mfumo wa uchaguzi wa Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Raia watatu wa Venezuela ambao ndio kiini cha madai ya wizi wa kura nchini Kenya huenda walijipenyeza katika mfumo wa uchaguzi wa nchi hiyo na hivyo basi kuchafua uchaguzi wa Agosti 9, ripoti ya uchunguzi wa kitaalamu kutoka mkurugenzi wa idara ya kufuatilia makosa ya Jinai imefichua.

XS
SM
MD
LG