Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliotimiza miaka 60 Ijumaa, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana nchini humo kuuenzi na kuulinda muungano.
Jeshi la Kenya lilifanya operesheni Alhamisi kuwaokoa wahanga wa mvua kubwa iliyosababisha vifo vya darzeni za watu kote Afrika Mashariki katika muda wa mwezi mmoja uliopita.
Baadhi ya asasi za kiraia zinazotetea haki za binadamu nchini Tanzania zimepinga kauli ya mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendegu ya kuwakamata na kuwachukulia hatua watoto wa kike wanaopata ujauzito wakiwa shule.
Benki ya Dunia ilisema Jumanne kuwa imesitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania kufuatia madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu.
Kituo cha sheria na haki za binaadamu kiimeitaka serikali kuwasilisha mswaada wa sheria wa kufanya mabadiliko ya katiba kutokana na baadhi ya marekebisho katika sheria hizo kushindwa kufanyika kutokana na mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya nchi hiyo.
Wananchi nchini Tanzania wamelalamikia tatizo la upatikanaji wa maji katika maeneo mbalimbali, hali inayopelekea kutumia maji yasiyo safi na salama na kuwalazimu kina mama kutembea umbali mrefu kupata huduma hiyo.
Serikali na hospitali binafsi nchini Tanzania zimetakiwa kutafuta njia za kupunguza gharama za matibabu ya figo na kuboresha huduma za Afya kwa wagonjwa wanaohitaji matibabu hayo.
Chama cha ACT Wazalendo, Zanzibar kinachounda serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) kimetishia kujiondoa kutoka muungano huo kutokana na baadhi ya makubaliano kushindwa kutekelezwa na rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
Serikali ya Haiti iliomba rasmi msaada wa usalama kutoka kwa nchi zote kote duniani, zaidi ya mwaka mmoja uliopita.
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake Ijumaa Machi 8, nchini Tanzania wanawake wametakiwa kuongeza juhudi zao katika siasa, ili kuhakikisha kuna wingi wa viongozi wanawake nchini.
Wanawake wa Tanzania wameitaka serikali kutoa elimu ya fursa mbalimbali za kiuchumi ili kuwawezesha wanawake kujikimu kiuchumi, na kuwasihi wanawake kutumia vipaji vyao wakati wakikabiliwa na changamoto mbalimbali.
Ali Hassan Mwinyi, who during two terms as Tanzania’s president oversaw the introduction of a multiparty democracy and the liberalization of the economy, has died. He was 98.
Pandisha zaidi