Radio
06:00 - 06:29
Umoja wa Mataifa watoa wito kwa vyombo vya usalama vya Comoros kutotumia nguvu vinapopambana na waandamanaji wenye gadhabu
Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa vikosi vya usalama vya Comoros kutotumia nguvu vinapopambana na waandamanaji wenye hasira, baada ya tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kumtangaza Rais Azali Assoumani mshindi wa uchaguzi wa Januari 14.
16:30 - 16:59
19:30 - 19:59
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Antony Blinken atatembelea nchi za Afrika wiki ijayo wizara ya mambo ya nje imetangaza Alhamis
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.