Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 04, 2024 Local time: 22:38

Mikusanyiko ya kidini yalaumiwa kueneza ugonjwa wa Surua Zimbabwe.


Mikusanyiko ya kidini yalaumiwa kueneza ugonjwa wa Surua Zimbabwe.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wizara ya afya imesema kwamba takriban watu 80 tayari wamekufa tangu ugonjwa huo ulipozuka wakati ikisemekana kwamba unaenea kwa haraka zaidi kutokana na mikusanyiko mikubwa ya kidini. Baadhi ya madhehebu wamewakataza wafuasi wao kupata chanjo za aina yoyote zile.

XS
SM
MD
LG