Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 27, 2024 Local time: 22:53

Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika (BAL) 2024: Sikiliza Michezo na Fuatilia


Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika (BAL) 2024: Sikiliza Michezo na Fuatilia
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:22 0:00

Sikiliza Michezo na Fuatilia Michuano hiyo kupitia Idhaa ya Sauti ya Amerika. Msimu wa BAL 2024 utashirikisha timu za vilabu vya 12 kutoka nchi 12 za Afrika wakicheza michezo 48 ambayo haijawahi kutokea katika mataifa manne ya Afrika --

Afrika Kusini, Misri, Senegal na Rwanda – kwa kipindi cha miezi minne, ikiwa ni michuano ya kwanza ya BAL kufanyika Afrika Kusini na kwa mara ya kwanza ligi hiyo itachezwa katika nchi nne tofauti. Al Ahly ya Misri iliifunga AS Douanes ya Senegal 80-65 ili kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mpira wa Kikapu 2023. Msimu huu unaanza Jumamosi, Machi 9. Timu za BAL: A.S. Douanes (SENEGAL) APR (RWANDA) Al Ahly (EGYPT) Al Ahly Ly (LIBYA) Bangui SC (CENTRAL AFRICAN REPUBLIC) Cape Town Tigers (SOUTH AFRICA) City Oilers (UGANDA) Dynamo BBC (BURUNDI) FUS de Rabat (MOROCCO) Petro de Luanda (ANGOLA) Rivers Hoopers (NIGERIA) U.S. Monastir (TUNISIA)

Forum

XS
SM
MD
LG