Afrika Mashariki yapewa fursa ya kuwania uwenyekiti wa Umoja wa Afrika
Kiungo cha moja kwa moja
Umoja wa Afrika umefanya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa mwenyekiti wa tume ya umoja huo na kutoa fursa ya moja kwa moja kwa jumuiya ya Afrika Mashariki kushikilia nafasi hiyo. Kenya imemtangaza kiongozi wa upinzani Raila Odinga kugombea nafasi hiyo, na imeanza kampeni.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum