Radio
19:30 - 19:59
Mapato kutokana na utalii nchini Kenya yaliongezeka takribani theluthi moja mwaka 2023
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.