Svoboda | Graniru | BBC Russia | Golosameriki | Facebook

Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Aprili 28, 2024 Local time: 19:10

Uchaguzi wa DRC wakabiliwa na changamoto za kiusalama huku utulivu wa wananchi ukiwa rehani


Uchaguzi wa DRC wakabiliwa na changamoto za kiusalama huku utulivu wa wananchi ukiwa rehani
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kipindi cha Jarida la Wikiendi linaangazia uchaguzi mkuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huku hali ya utulivu wa wananchi wa nchi hiyo ukiwa au ukiendelea kuwa rehani.

Wakati huo huo Rais wa DRC Felix Tshisekedi anaendelea kuonekana kutetea kiti chake kwa matokeo ya awali ya uchaguzi huo uliofanyika Disemba 20, 2023. Endelea kusikiliza...

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG