Radio
19:30 - 19:59
Mamia ya watu waliandamana nchini Niger kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika eneo linalotawaliwa na jeshi la Niger.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.