Israel imesema inakaribisha usafirishaji wa baharini na huenda itakagua mizigo inayoelekea Gaza
Orodha kamili ya washindi wa 2024 wa Oscars itatangazwa moja kwa moja kutoka ukumbi wa Dolby huko Los Angeles
Kashfa za karibuni kuhusu ufisadi zimevitia doa vyama viwili ambavyo vimekuwa madarakani kwa kupishana kwa miongo kadhaa
Operesheni hiyo ilikuwa ishara ya karibuni ya matatizo wakati ghasia za magenge zikitishia kuiangusha serikali ya Haiti
Afrika Kusini iko ukingoni kuanguka sio kwa sababu ya ukosefu kwa watu wetu lakini kwa kuwa imekabiliwa na utawala duni na ufisadi
Ni miongoni mwa mpango wa mageuzi yenye lengo la kubadili kiwango cha uzazi kinachopungua huko Thailand
Serikali ya Haiti iliomba rasmi msaada wa usalama kutoka kwa nchi zote kote duniani, zaidi ya mwaka mmoja uliopita.
Shambulio katika jimbo la Kaduna lilikuwa la pili la utekaji nyara wa watu wengi kwa kipindi cha wiki moja huko Nigeria
IFRC ilitoa ombi la dharura la dola milioni 57 kuwasaidia kwa haraka watu 500,000 waliokuwa hatarini kukoseshwa makazi
Mkuu wa Tume ya Misaada wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan alitoa tena wito kwa utawala wa ki-imla kubadili vikwazo hivyo
Von der Leyen alisema ukanda huo ulikaribia kufunguliwa na unaweza kuanza kufanya kazi Jumapili au mapema Jumamosi
Rais wa Marekani, Joe Biden atatoa hotuba ya Hali ya Kitaifa leo Alhmisi, ambapo anatarajiwa kuzungumzia jinsi alivyoshughulikia uchumi, haki za uzazi, uhamiaji, na vita vya Ukraine na Gaza.
Pandisha zaidi