Walioshuhudia wanasema shambulizi la anga la Israel lilipiga mahema kadhaa ndani ya hospitali ya Al-Aqsa Martyrs
Hatua hii inafuatia shambulio baya zaidi kuwahi kutokea nchini humo ambapo watu wasiopungua 144 waliuawa.
Ubalozi wa India nchini Cambodia unafanya kazi na mamlaka za Cambodia na umewaokoa na kuwarudisha nyumbani takriban raia wa India 250
Kiongozi wa kanisa la Katoliki Duniani pia anatarajiwa kuelezea migogoro ya kimataifa inayoendelea duniani kote
Kenya imekuwa kituo kikuu cha utalii Afrika Mashariki kiasili kinavutia wageni duniani kote kwenye mbuga za wanyamapori
Msemaji wa Taliban ameiambia redio ya serikali ya Afghanistan wameifahamisha Marekani kuhusu kukamatwa kwa raia wake
Vikundi vya wahandisi sasa vimeangazia kazi kubwa ya kusafirisha mabaki yaliyovunjika ya Daraja kuwa la Francis Scott kutoka Mto Patapsco huko Maryland, hatua ya kwanza ya kufungua tena Bandari ya Baltimore na kuopoa miili ya wafanyakazi wanne ambao bado hawajapitakana na wanaodhaniwa kuwa wamekufa.
Wamarekani wana wasiwasi zaidi kuhusu wahamiaji halali kuweza kufanya vitendo vya uhalifu nchini Marekani kuliko ilivyokuwa miaka michache nyuma.
Barack Obama, Bill Clinton pamoja na watu wenye majina makubwa kwenye tasnia ya burudani waliungana pamoja huko New York Alhamisi usiku kumkaribisha rais Joe Biden ambaye amechangisha kiwango kikubwa cha fedha dola milioni 26 kwa kampeni yake ya kuchaguliwa.
Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imesema watu zaidi ya 32,000 wameuawa wakati wa mashambulizi ya Israel
China iliweka ushuru kwa mvinyo wa Australia mwaka 2020 wakati wa mzozo wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili
Rais Mahmoud Abbas alimteua Mohammad Mustafa, mshauri wa muda mrefu kuwa Waziri Mkuu wa Palestina mapema mwezi huu.
Pandisha zaidi