Radio
Serikali ya Nigeria inafanya msako kuwatafuta magaidi waliohusika na shambulizi kwenye kanisa lililosababisha vifo zaidi ya watu 50
Gavana wa jimbo la Ondo anasema waliotekeleza shambulizi hilo dhidi ya kanisa la kikatoliki la St. Francis huko Owo watasakwa hadi wapatikane na pia watashtakiwa kwa mujibu wa sharia
VOA Express
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
JIONI: Waasi wa M23 wamesema wataendelea kupigana na wanajeshi wa DRC
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.