Radio
06:00 - 06:29
Wakenya waendelea kusubiri mshindi wa urais baada ya kupiga kura wakati ushindani ukiendelea kubaki mkali.
Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinda na naibu rais William Ruto wanaonekana kuwa kwenye ushindani mkali , wakati baadhi ya washindi wa viti vingine vya ubunge na kaunti tayari wakianza kusherehekea
16:30 - 16:59
21:00 - 21:29