Radio
06:00 - 06:29
Wanasiasa walaumiwa kuchangia katika mzozo mashariki mwa DRC
Baada ya uchunguzi na utafiti kuhusu vita vinavyoendelea kwa muda mrefu mashariki wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wachambuzi na watafiti wa masuala ya migogoro nchini DRC wanasema wanasiasa wameonekana kuchangia kwa sehemu kubwa katika mzozo mashariki mwa nchi.
19:30 - 20:29
LIVE TALK wachambuzi wanaangazia tozo zilizowekwa na serikali pamoja na changamoto zilizoibuka na kupelekea ugumu wa maisha katika jamii
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.