Radio
06:00 - 06:29
Tshisekedi ahutubia mkutano wa 77 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshidekedi, ni kati ya viongozi wa nchi na serikali ambao wamehutubia kikao cha 77 cha Umoja wa mataifa mjini New York katika siku ya kwanza ya kongamano hilo, na kuelezea changamoto zinazozidi kuikumba nchi yake na hatua zinazohitaji kuchukuliwa.
19:30 - 19:59
DRC yaishitaki Rwanda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi anataka Umoja wa Mataifa na ulimwengu kwa jumla kuchukua hatua za dharura na kali kuiwajibisha serikali ya Rwanda, akisema ndio inachangia kwa kiasi kikubwa kuvuruga amani mashariki mwa DRC.