Radio
06:00 - 06:30
Uuzaji wa nafaka nje ya Tanzania watajwa kama kichocheo kikubwa cha kupanda kwa gharama ya maisha
Baadhi ya Watanzania wanaitaka serikali kuingilia kati ili kupunguza gharama ya maisha inayozidi kupanda na wanapendekeaza kusitishwa au kudhibitiwa kwa uuzaji wa nafaka nje ya nji kama njia mojawapo ya kukabiliana na hali hiyo.
16:30 - 16:59
Siasa za Kenya zahamia kwenye Bunge na Seneti
Uchaguzi wa spika wa Kenya katika Bunge la Kitaifa na Seneti unatazamwa huku Muungano wa Rais mteule William Ruto wa Kenya Kwanza una wagombea wawili wanaowania na Azimio la Umoja la Raila Odinga pia lina watu wawili wanaowania wadhifa wa Spika katika Bunge la Kitaifa.